Mathayo 6 : 31 – 33 MSISUMBUKE, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote. […]
KODI YA MUNGU – ( ZAKA )
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA NANE : KODI YA MUNGU – ( ZAKA ) Malaki 3:8-10 8 Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia. ‘‘Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna […]
UFALME WA MUNGU UMO NDANI YENU.
20 Na alipoulizwa na Mafarisayo, UFALME WA MUMGU utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, UFALME WA MUNGU hauji kwa kuuchunguza; 21 wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, UFALME WA MUNGU umo ndani yenu. […]
JESHI LA UFALME WA MUNGU
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA SABA : JESHI LA UFALME WA MUNGU. Zaburi 34:7 “MALAIKA wa BWANA hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.” Unapookoka unaingia kwenye UFALME WA […]
WAKILI WA SERIKALI YA MBINGUNI
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA SITA : WAKILI WA SERIKALI YA MBINGUNI. Watoto wangu wapendwa, nawaandikieni haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu ye yote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi […]
MWANASHERIA MKUU WA MBINGUNI
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA TANO : MWANASHERIA MKUU WA MBINGUNI. Luka 12:11-12 Watakapowapeleka katika masinagogi mbele ya watawala na wenye mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu namna mtakavyojitetea au […]
LUGHA YA MBINGUNI
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA NNE : LUGHA YA MBINGUNI. Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa LUGHA mpya; ( Marko 16 […]
MATUMIZI YA IMANI KWENYE UFALME WA MUNGU
Mathayo 21 : 21 – 22 21 Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na IMANI, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng’oka, ukatupwe baharini, litatendeka. 22 Na […]
URAIA WA MBINGUNI
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA PILI : URAIA WA MBINGUNI. Jambo la pili na la muhimu kujua kuhusu Ufalme wa Mungu ni URAIA WA MBINGUNI. Kwa maana sisi, […]
KATIBA YA UFALME WA MUNGU
MAMBO 15 MUHIMU UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU UFALME WA MUNGU. JAMBO LA KWANZA : KATIBA YA UFALME WA MUNGU. Tumezaliwa na kukulia kwenye jamii zenye mitazamo ya kidini, kwa hiyo imekuwa ni vigumu sana kuelewa na […]